Monday, February 1, 2010

Lucinda Dickey aka Kelly ni mmoja wa washiriki wa sinema ya muziki wa BreakDance ambayo ilitamba sana miaka ya 1984 akiwa na wenzakekama Michael Chambers aka Electric Boogaloo pamoja na Adolfo Quinones aka Shaba-doo. Pia ameshiriki kwenye baadhi ya Sinema kama Ninja III: The Domination (1984), Cheerleader Camp (1988), The Case of the Defiant Daughter (1990) , Breakin' 2: Electric Boogaloo...
Jamaa bado yupo kwenye fani yake kama kawaida. Kama unamkumbuka kwenye Komedi alizocheza  za "Family Matters" na ndizo zilizompatia umaarufu mkubwa. Huyu jamaa ni nani?  tumcheki kiundani kidogo! Jamaa anaitwa "Jaleel Hahmad White" ndilo jina lake la kuzaliwa, pia anajulikana kwa jina Steve, kwenye Komedi alizowahi kuigiza kama "Family Matters".  Alizaliwa tarehe 27...
Waasisi wa Bongo Hip Hop NiggaOne kulia na D-Robby kushoto enzi za uhai wao kama wanavyoonekana, huwezi kuongelea bongo fleva ilivyoanza bila kuwataja hawa jamaa. Stori zaidi kuhusu jamaa walivyoitambulisha bongo fleva hapa nchini inakuja hivi karibuni, tega min...